Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment