Kiungo chipukizi wa Marseille ya Ufaransa, Andre-Frank Zambo Anguissa akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika sare ya 1-1 na Australia usiku wa Alhamisi Uwanja Krestovskyi mjini St. Petersburg, Urusi katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Australia ilisawazisha kupitia kwa Mark Milligan kwa penalti dakika ya 60PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes responds to Roy Keane's fierce criticism of his Man United
captaincy after starring in his side's 3-0 win over Leicester
-
Manchester United captain Bruno Fernandes has issued a response to Roy
Keane's fierce criticism of his leadership following his side's 3-0 Premier
League w...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment