YANGA WALIPOZURU BUNGENI DODOMA JANA KUONYESHA KOMBE LAO
Wachezaji wa Yanga wakiwa nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana baada ya kwenda kuonyesha Kombe lao la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, hiyo ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya zoezi hilo kwa mikoa kadhaa
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment