Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akiwa na mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta baada ya kukutana mjini Brussels, Ubelgiji leo
Rais Mstaafu, Kikwete yupo mjini Brussels kuhudhuria Mkutano wa Wadau wa Libya na Samatta alilazimika kusafiri kutoka Genk hadi mjini kwenda kumsalimia mzee wake huyo
Samatta alikwenda kwa benzi lake kutoka Genk hadi Brussells

0 comments:
Post a Comment