Kikosi kizima cha Mbao FC kikiwa nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana walipokwenda kwa mwaliko wa Mbunge wa jimbo la Ilemela, Dk. Angeline Mabula ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Mbao yenye maskani yake Ilemela, Mwanza kesho inatarajiwa kumenyana na Simba SC katika fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Thomas Partey not bothered by Black Stars captaincy decision – GFA
-
Ghana Football Association (GFA) Communications Director, Henry Asante
Twum, has dismissed any concerns over Thomas Partey losing the Black Stars
captaincy...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment