Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwaongoza wenzake katika ukimya wa dakika moja kabla ya kuanza mazoezi viwanja vya Carrington, Manchester kuwaombea watu 22 waliofariki dunia baada ya shambulizi la kigaidi kwenye tamasha la muziki wa Pop mjini Manchester usiku wa Jumatatu tukio ambalo lilisababisha watu wengine 119 wajetuhiwe. United inafanya mazoezi hapo leo kujiandaa na mchezo wa fainali ya Europa League kesho Friends Arena mjini Stockholm, Sweden dhidi ya Ajax PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chad arrive in Ghana ahead of 2026 World Cup qualifier against Black Stars
-
Chad’s national football team arrived in Accra on Monday evening to
prepare for their 2026 FIFA World Cup qualifier against Ghana’s Black
Stars.The mat...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment