// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KWELI NI MPIRA WA MIGUU, LAKINI SI KWA MATEKE HAYA! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKWELI NI MPIRA WA MIGUU, LAKINI SI KWA MATEKE HAYA! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
KWELI NI MPIRA WA MIGUU, LAKINI SI KWA MATEKE HAYA!
Wachezaji wa Azam FC, beki Mghana Daniel Amoah (kulia) na kiungo Mcameroon Stephan Kingue (kushoto) walijikuta wakichezeana rafu wenyewe juzi Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam katika harakati za kumdhibiti kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (katikati) katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC). Simba ilishinda 1-0
Wachezaji wa kigeni wa Azam wanapeana maumivu huku kiungo wa Simba akijitoa
Tukio lilianzia hapa, wakati Muzamil Yassin anajivuta kupiga mpira
Baadaye, aliyeonekana kuugulia zaidi maumivu ni Kingue
Reps seek Healthcare Trust Fund
-
From Ndubuisi Orji, Abuja The House of Representatives has advocated for a
Healthcare Trust Fund to increase the funding gap in the health sector. The
ch...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment