Wachezaji wa Huddersfield Town wakishangilia na taji lao la mechi ya mchujo ya Championship kuwania kupanda Ligi Kuu England baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Liam Moore alipaisha mkwaju wake kabla ya Danny Ward kuokoa penalti ya Jordan Obita na pamoja na kipa Ali Al-Habsi kuokoa tuta la Michael Hefele, haikuzuia Huddersfield Town kurejea Ligi Kuu mwa mara ya kwanza tangu mwaka 1972 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment