Luis Suarez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 87 katika ushindi wa 3-0 usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Espanyol. Bao lingine la Barcelona katika mchezo huo wa mahasimu wa Katalunya lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea HIJACK Man United's move for top target Geovany Quenda in 'secret
blitz' as they 'agree deal' for Sporting Lisbon star and Ruben Amorim
favourite
-
Quenda was seen as Ruben Amorim's top right wing-back and the Red Devils
have been heavily linked with the starlet. But now the 17-year-old has
reportedly ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment