Nyota wa Chelsea, N'Golo Kante akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa England kwa msimu wa 2016-2017, baada ya kukabidhiwa jana jioni katika ukumbi wa hoteli ya Grosvenor mjini London kufuatia kuwashinda mchezaji mwenzake, Eden Hazard, Harry Kane wa Tottenham, Zlatan Ibrahimovic wa Manchester United, Romelu Lukaku wa Everton na Alexis Sanchez wa Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Draper storms into Indian Wells semi-finals with straight-sets victory
over Ben Shelton - and tees up clash with Carlos Alcaraz in last-four bow
-
After an even tussle to start the match, Draper struck first blood with a
break of serve in the seventh game en route to wrapping up the first set
6-4.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment