Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akienda chini baada ya kukwatuliwa na Marten de Roon wa Middlesbrough, rafu iliyosababisha penalti ambayo ilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 kuipatia timu hiyo bao la kwanza katika sare ya 2-2 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Bao lingine la City limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 85, wakati ya Boro yamefungwa na Alvaro Negredo dakika ya 38 na Calum Chambers dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea HIJACK Man United's move for top target Geovany Quenda in 'secret
blitz' as they 'agree deal' for Sporting Lisbon star and Ruben Amorim
favourite
-
Quenda was seen as Ruben Amorim's top right wing-back and the Red Devils
have been heavily linked with the starlet. But now the 17-year-old has
reportedly ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment