Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akienda chini baada ya kuangushwa na kipa wa Swansea City, Lukasz Fabianski na refa Neil Swarbrick kuamuru penalti ambayo ilifungwa na Wayne Rooney kuipatia timu yake bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford, kabla ya wageni kusawazisha kupitia kwa Gylfi Sigurdsson dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Draper storms into Indian Wells semi-finals with straight-sets victory
over Ben Shelton - and tees up clash with Carlos Alcaraz in last-four bow
-
After an even tussle to start the match, Draper struck first blood with a
break of serve in the seventh game en route to wrapping up the first set
6-4.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment