// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HAFLA YA UCHANGIAJI SERENGETI BOYS SERENA HOTEL JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HAFLA YA UCHANGIAJI SERENGETI BOYS SERENA HOTEL JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, April 29, 2017

        HAFLA YA UCHANGIAJI SERENGETI BOYS SERENA HOTEL JANA

        Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) akipokea mpira kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi jana katika hafla maalum ya kuichangia timu ya taifa yaa vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys iliyofanyika hoteli ya Serena, Dar ea Salaam
        Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kupiga penalti kulia. Kushoto ni gwiji wa soka ya Tanzania, Kitwana Manara aliyeanza kama kipa na kumaliza kama mshambuliaji ambaye alikuwa kipa jana 
        Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika picha ya pamoja na viongozi na wadau mbalimbali 
        Balozi wa Korea nchini Tanzania, Song Geum-young alikuwepo jana
        Kutoka kulia ni Charles Hillary, Mahmoud Zubeiry na Kitwana Manara katika hafla hiyo jana  
        Shughuli ilipendeza jana kutokana na wadau mbalimbali kujitokeza
        Maofisa wa TFF, Eliud Mvella kulia na Wakili Emmanuel Muga
        Baadhi ya Waandishi wa Habari waliojitokeza kwenye hafla hiyo
        Wataalamu wa Azam TV ambaoo walirusha 'live' shughuli hiyo wakiwa kazini jana
        Fatma wa Bodi ya Ligi kulia na Mariam wa TFF kushoto 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: HAFLA YA UCHANGIAJI SERENGETI BOYS SERENA HOTEL JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry