Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea HIJACK Man United's move for top target Geovany Quenda in 'secret
blitz' as they 'agree deal' for Sporting Lisbon star and Ruben Amorim
favourite
-
Quenda was seen as Ruben Amorim's top right wing-back and the Red Devils
have been heavily linked with the starlet. But now the 17-year-old has
reportedly ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment