Kocha wa Newcastle, Rafa Benitez (katikati) akipongezana na wachezaji wake baada ya kufanikiwa kurejea Ligi Kuu ya England jana kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Preston North End katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Uwanja wa St. James' Park. Newcastle imefikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 44 na inaendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Brighton & Hove Albion wenye pointi 92 za mechi 44 ambao pia wamepanda Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea HIJACK Man United's move for top target Geovany Quenda in 'secret
blitz' as they 'agree deal' for Sporting Lisbon star and Ruben Amorim
favourite
-
Quenda was seen as Ruben Amorim's top right wing-back and the Red Devils
have been heavily linked with the starlet. But now the 17-year-old has
reportedly ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment