Kiungo wa Manchester City, David Silva (kulia) akipiga shuti kuifungia bao la kwanza Hispania dakika ya 13 usiku wa jana katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Israel kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Vitolo dakika ya 45 na ushei, Diego Costa na Isco wakati la Israel lilifungwa na Lior Refaelov dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great Patrick Dangerfield to QUIT top AFL job after making a very
controversial call he knew would outrage fans
-
The premiership-winning veteran of 338 AFL games is due to step down from
his powerful post on Tuesday night in a decision that will surprise many
people a...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment