Alexis Sanchez akifumua shuti la mpira wa adhabu kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Venezuela jana Uwanja wa Monumental David Arellano mjini Santiago, Chile katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini. Mabao mengine ya Chile yalifungwa na Esteban Paredes dakika ya saba na 22 huku Sanchez akikosa penalti dakika ya 77, kabla ya Salomon Rondon kuifungia bao la kufutia machozi Venezuela dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great Patrick Dangerfield to QUIT top AFL job after making a very
controversial call he knew would outrage fans
-
The premiership-winning veteran of 338 AFL games is due to step down from
his powerful post on Tuesday night in a decision that will surprise many
people a...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment