// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WENZAKE MAZOEZINI LEO TAIFA STARS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WENZAKE MAZOEZINI LEO TAIFA STARS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, March 22, 2017

        SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WENZAKE MAZOEZINI LEO TAIFA STARS

        Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta akimtoka beki, Mohammed Hussein 'Tshabalala' katika mazoezi ya timu hiyo leo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na michezo ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana na Burundi Jumamosi na Jumanne 
        Kiungo Frank Domayo hapa akimiliki mpira mbele ya Nahodha Mbwana Samatta
        Mbwana Samatta akiambaa na mpira pembeni ya Frank Domayo 
        Mbwana Samatta akizungumza na winga wa Taifa Stars, Simon Msuva
        Wachezaji wa Taifa Stars wakikimbia katika mazoezi ya leo
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WENZAKE MAZOEZINI LEO TAIFA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry