Cristiano Ronaldo akiifungia bao timu yake ya taifa, Ureno dakika ya18 jana ikifungwa 3-2 na Sweden Uwanja wa Maritimo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andreas Granqvist aliyejifunga dakika ya 34, wakati ya Sweden yalifungwa na Viktor Claesson mawili dakika za 57 na 76 na Joao Cancelo aliyejifunga dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 WCQ: Super Eagles Kigali camp brace up with 12 players
-
By Seyi Babalola Six additional players have arrived at the Super Eagles’
Radisson Blu Hotel camp in Kigali ahead of the 2026 FIFA World Cup
qualifier ag...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment