Beki Leonardo Bonucci akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Italia dakika ya 32 ikiwalaza 2-1 wenyeji Uholanzi katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Amsterdam Arena jana. Alessio Romagnoli alijifunga dakika ya 10 kuwapatia Uholanzi bao la kuongoza, lakini Eder Martins akaisawazishia Italia dakika moja baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Female referee shows off INSANE fitness levels needed for top-level
officiating... so, can you match her rigorous workout routine?
-
Taking to social media , Sophie Dennington - who is a national refereeing
manager with the Football Association - shared a week-long insight into her
fitne...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment