Daniele De Rossi akishangilia na Andrea Belotti baada ya nyota huyo wa Roma kufunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 12 baada ya Migjen Basha kumuangusha Andrea Belotti kwenye boksi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Albania kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Renzo Barbera mjini Palermo. Bao lingine la Italia lilifungwa na Ciro Immobile dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 WCQ: Super Eagles Kigali camp brace up with 12 players
-
By Seyi Babalola Six additional players have arrived at the Super Eagles’
Radisson Blu Hotel camp in Kigali ahead of the 2026 FIFA World Cup
qualifier ag...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment