Kocha wa Brazil, Tite akizungumza na wachezaji wake mazoezini jana kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa kanda ya Amerika Kusini dhidi ya Paraguay leo Uwanja wa Nacional de Brasilia Mane Garrincha mjini Brasilia. Brazil inahitaji ushindi ili kujihakikishia kuwa timu ya kwanza kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great Patrick Dangerfield to QUIT top AFL job after making a very
controversial call he knew would outrage fans
-
The premiership-winning veteran of 338 AFL games is due to step down from
his powerful post on Tuesday night in a decision that will surprise many
people a...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment