Zlatan Ibrahimovic akituliza mpira kifuani mbele ya beki wa Saint-Etienne, Kevin Theophile-Catherine katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Europa League leo Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Manchester United ikishinda 1-0, bao pekee la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 16. Kwa ushindi huo Man United iliyomaliza pungufu baada ya Eric Bailly kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63 inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushindaa 4-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes responds to Roy Keane's fierce criticism of his Man United
captaincy after starring in his side's 3-0 win over Leicester
-
Manchester United captain Bruno Fernandes has issued a response to Roy
Keane's fierce criticism of his leadership following his side's 3-0 Premier
League w...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment