Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya timu yao na Ngaya Club de Mde Comoro jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 5-1 mjini Moroni Jumapili iliopita katika mchezo wa kwanza
Bruno Fernandes responds to Roy Keane's fierce criticism of his Man United
captaincy after starring in his side's 3-0 win over Leicester
-
Manchester United captain Bruno Fernandes has issued a response to Roy
Keane's fierce criticism of his leadership following his side's 3-0 Premier
League w...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment