Cristiano Ronaldo akiwa ameanguka mbele ya beki wa Valencia, Eliaquim Mangala katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Mestalla mjini Valencia wenyejinwakishinda 2-1. Mabao ya Valencia yalifungwa na Simone Zaza dakika ya nne na Fabian Orellana dakika ya tisa, wakati la Real lilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 44 akicheza mechi ya 700 tangu ajiunge na timu ya Madrid kutoka Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes responds to Roy Keane's fierce criticism of his Man United
captaincy after starring in his side's 3-0 win over Leicester
-
Manchester United captain Bruno Fernandes has issued a response to Roy
Keane's fierce criticism of his leadership following his side's 3-0 Premier
League w...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment