Lionel Messi akishangulia na mchezaji mwenzake, Neymar Junior baada ya kufunga bao lake la 20 msimu huu dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Rafael AlcAntara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 64, wakati la Atletico lilifungwa na Diego Godin dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment