Jamie Vardy akiruka juu kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la tatu kati ya mawili aliyofunga dakika za 28 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Danny Drinkwater dakika ya 39, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 68. Ushindi huo unakuja siku nne baada ya kufukuzwa kocha Claudio Ranieri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment