Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 75 ikiwalaza wenyeji, Blackburn Rovers 2-1 usiku huu Uwanja wa Ewood Park mjini Blackburn, Lancashire katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England. Danny Graham alianza kuifungia Rovers bao la kuongoza dakika ya 17, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment