Wachezaji wa Manchester United wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England baada ya kuifunga Southampton mabao 3-2 leo katika fainali Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Man United yamefungwa na Zlatan Ibrahimovic mawili dakika za 19 na 87 na Jesse Lingard dakika ya 38, wakati ya Southampton yamefungwa na Manolo Gabbiadini yote dakika za 45 na ushei na 48, hilo likiwa taji la kwanza la kocha Mreno, Jose Mourinho tangu ajiunge na Mashetani hao Wekundu msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment