Vita ya Wabrazil; Beki wa Chelsea, David Luiz (kulia) akipiga mpira kichwa dhidi ya Mbrazil mwenzake, mshambuliji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushito) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Luiz alianza kuifungia The Bluse dakika ya 24, kabla ya Diego Costa kukosa penalti dakika ya 76 iliyookolewa na kipa Simon Mignolet baada ya Georginio Wijnaldum kuisawazishia Liverpool dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-2 Newcastle: Magpies end 70-YEAR wait for domestic silverware
with stunning Carabao Cup triumph after goals from Alexander Isak and Dan
Burn at Wembley
-
OLIVER HOLT AT WEMBLEY: Some wept. Tears of unbridled joy. Some flung their
hands to the skies, thinking perhaps of loved ones long gone who would have
giv...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment