Bastian Schweinsteiger (kulia) akishangilia na wenzake akiwemo Nahodha, Wayne Rooney (kushoto) baada ya kuifungia Manchester United bao la nne dakika ya 81 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Wigan kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 44, Chris Smalling dakika ya 57 na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment