Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 71na Yaya Toure dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment