// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN CITY YAMPA MTU 3-0 NA KWENDA MBELE KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN CITY YAMPA MTU 3-0 NA KWENDA MBELE KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, January 28, 2017

        MAN CITY YAMPA MTU 3-0 NA KWENDA MBELE KOMBE LA FA

        Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 71na Yaya  Toure dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN CITY YAMPA MTU 3-0 NA KWENDA MBELE KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry