Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Southampton, Ryan Bertrand katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfileld. Southampton ilishinda 1-0, bao pekee la Shane Long na kuingia fainali ya kwanza ya Kombe tangu mwaka 2003. Southampton waliingia kwenye mchezo wa leo wakiwa wanangoza bao 1-0 baada ya ushindi wa nyumbani Uwanja wa St Mary's, bao pekee la Nathan Redmond PICHA ZAIDI GONHA HAPA
Footy great Patrick Dangerfield to QUIT top AFL job after making a very
controversial call he knew would outrage fans
-
The premiership-winning veteran of 338 AFL games is due to step down from
his powerful post on Tuesday night in a decision that will surprise many
people a...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment