Andreas Weimann akimzunguka kipa Loris Karius kuifungia bao la pili Wolves dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Anfield. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Richard Stearman dakika ya kwanza, wakati la Liverpool lilifungwa na Divock Origi dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment