Nyota wa zamani wa Manchester United, Angel Di Maria akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili PSG dakika za 18 na 81 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux na kutinga fainali ya Kombe la Ufaransa usiku wa jana. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Edinson Cavani dakika za 60 na 74 wakati la Bordeaux lilifungwa na Diego Rolan dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment