Nyota wa zamani wa Manchester United, Angel Di Maria akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili PSG dakika za 18 na 81 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux na kutinga fainali ya Kombe la Ufaransa usiku wa jana. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Edinson Cavani dakika za 60 na 74 wakati la Bordeaux lilifungwa na Diego Rolan dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hanna Cavinder takes her mind off rumored Carson Beck breakup in 'weekend
of luv' with sister Haley
-
Hanna, who plays for the University of Miami women's basketball team,
sparked breakup rumors by unfollowing Hurricanes quarterback Beck and
wiping any trac...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment