Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akiwa amezungukwa na wachezaji wa Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Timu hizo zimetoka 1-1, Betis wakitangulia kwa bao la Alex Alegria dakika ya 75, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hanna Cavinder takes her mind off rumored Carson Beck breakup in 'weekend
of luv' with sister Haley
-
Hanna, who plays for the University of Miami women's basketball team,
sparked breakup rumors by unfollowing Hurricanes quarterback Beck and
wiping any trac...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment