• HABARI MPYA

        Saturday, December 31, 2016

        RONDA ROUSEY AJUTA KURUDI ULINGONI, ACHAPWA VIBAYA NA AMANDA UFC

        Ronda Rousey (kushoto) akiugulia maumivu baada ya pigo la Amanda Nunes katika mchezo wa UFC jana. Amanda alitumia sekunde 48 tu kummaliza Ronda aliyerejea ulingoni jana baada ya miezi 13 mjini Las Vegas 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: RONDA ROUSEY AJUTA KURUDI ULINGONI, ACHAPWA VIBAYA NA AMANDA UFC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry