// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); RAUNDI TA TATU KOMBE LA FA, MAN UNITED YAPEWA READING...WEST HAM NA MAN CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE RAUNDI TA TATU KOMBE LA FA, MAN UNITED YAPEWA READING...WEST HAM NA MAN CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Tuesday, December 06, 2016

        RAUNDI TA TATU KOMBE LA FA, MAN UNITED YAPEWA READING...WEST HAM NA MAN CITY

        MHOLANZI Jaap Stam atarejea Manchester United mwezi ujao baada ya klabu yake, Reading kupangwa kuwafuata Mashetani hao Wekundu Uwanja wa Old Trafford katika Raundi ya Tatu ya Kombe la FA, England.
        Stam alikuwa shujaa wa safu ya ulinzi katika miaka yake mitatu ya kuchezea United, mwaka 1999 ukiwa wa kukumbukwa zaidi baada ya kushinda mataji matatu kabla ya kuuzwa Lazio kufuatia kutofautiana na Sir Alex Ferguson aliyekuwa kocha wa timu hiyo wakati huo.
        Lakini baadaye, kocha Ferguson alikiri alifanya kosa kubwa kumuacha mchezaji huyo.
        Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho atamenyana na Reading ya kocha Jaap Stam PICHA ZAIDI GONGA HAPA  

        RATIBA KAMILI YA RAUNDI YA TATU KOMBE LA FA 

        Ipswich vs Lincoln
        Barrow vs Rochdale
        Manchester United vs Reading
        Hull vs Swansea
        Sunderland vs Burnley
        QPR vs Blackburn
        Millwall vs Bournemouth
        West Ham vs Manchester City 
        Brighton vs MK Dons or Charlton
        Blackpool vs Barnsley
        Wigan vs Nottingham Forest
        Birmingham vs Newcastle 
        Chelsea vs Peterborough or Notts County 
        Middlesbrough vs Sheffield Wednesday
        West Brom vs Derby
        Everton vs Leicester 
        Wycombe vs Northampton or Stourbridge
        Watford vs Burton Albion
        Preston vs Arsenal
        Cardiff vs Fulham
        Stoke vs Wolves
        Cambridge vs Leeds
        Bristol City vs Fleetwood or Shrewsbury
        Huddersfield vs Port Vale
        Tottenham vs Aston Villa 
        Brentford vs Halifax and Eastleigh
        Bolton vs Crystal Palace 
        Norwich vs Southampton
        Sutton United vs Wimbledon
        Accrington Stanley vs Luton
        Rotherham vs Oxford or Macclesfield

        Liverpool vs Newport or Plymouth


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: RAUNDI TA TATU KOMBE LA FA, MAN UNITED YAPEWA READING...WEST HAM NA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry