Beki Mholanzi, Nathan Ake kinda wa umri wa miaka 21 anayecheza kwa mkopo AFC Bournemouth kutoka Chelsea kimuonekano ni kama Ruud Gullit, lakini kiuchezaji ni kama Frank Rijkaard, magwiji wa zamani wa Uholanzi. Kijana huyo amekuwa gumzo baada ya kufunga bao la ushindi Jumapili Bournemouth ikiifunga 4-3 Liverpool katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Champions League final stadium for 2027 LEAKED by the host country after
San Siro was stripped of the game
-
The Champions League final stadium for 2027 has been leaked by the host
country after the San Siro was stripped of the game.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment