Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United yamefunga na Daley Blind dakika ya 39 na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 82 wakati la Sunderland limefungwa na Fabio Borini dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who should Thomas Tuchel have REALLY picked for England? Squad based solely
on stats for this season includes defender based in France among five
uncapped players
-
Thomas Tuchel sparked debate among Three Lions supporters when he revealed
his first England squad for their upcoming 2026 World Cup qualifiers last
week.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment