Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United yamefunga na Daley Blind dakika ya 39 na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 82 wakati la Sunderland limefungwa na Fabio Borini dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu’s mandate and Nigeria’s gross national happiness
-
By Osita Okechukwu Recenty, when the social media outlets ran amok with
news of grumblings against President Bola Ahmed Tinubu, GCFR, within the
APC, esp...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment