• HABARI MPYA

        Monday, December 26, 2016

        MAN UNITED YAFANYA BALAA, YAITANDIKA SUNDERLAND 3-1

        Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Old Trafford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United yamefunga na Daley Blind dakika ya 39 na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 82 wakati la Sunderland limefungwa na Fabio Borini dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN UNITED YAFANYA BALAA, YAITANDIKA SUNDERLAND 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry