Nyota Mbrazil, Oscar akiwa ameshika jezi ya Shanghai SIPG ya China kufuatia kujiunga nayo kwa dau la Pauni Milioni 52 kutoka Chelsea ya England. Oscar sasa atakuwa analipwa Pauni 400,000 kwa wiki timu hiyo ya Ligi Kuu ya China na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The curious case of Swiatek's hex against Ostapenko - Second Serve
-
The curious case of dominant head-to-head records, while Holger Rune wins
in Barcelona - your weekly tennis round-up.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment