Nyota Mbrazil, Oscar akiwa ameshika jezi ya Shanghai SIPG ya China kufuatia kujiunga nayo kwa dau la Pauni Milioni 52 kutoka Chelsea ya England. Oscar sasa atakuwa analipwa Pauni 400,000 kwa wiki timu hiyo ya Ligi Kuu ya China na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PHOTOS: Black Stars hold second training session ahead of Chad encounter on
Friday
-
The Black Stars of Ghana held a second training session on Tuesday, March
18, to continue with preparation ahead of their encounter against Chad.The
male s...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment