Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Bayern Munich katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Pamoja na kufungwa, Atletico imeongoza kundi kwa pointi zake 15, ikifuatiwa na Bayern pointi 12 na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Court fixes May 17 for judgment in N1bn rights violation suit against
police
-
From Godwin Tsa, Abuja The Federal High Court in Abuja has scheduled May
17, 2025 for judgment in the N1 billion fundamental rights suit filed by
Presi...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment