Mshambuliaji Kelechi Iheanacho (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City, Leroy Sane na Nolito baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Celtic kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Patrick Roberts alianza kuwafungia Man City dakika ya nne na kwa matokeo hayo City inamaliza nafasi ya pili nyuma ya Barcelona na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cross River empowers 135 schools with improved farming tools
-
By Aniekan Aniekan, Calabar The Cross River State Government has commenced
the distribution of improved variety seedlings and herbicides to 135
schools a...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment