// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KELECHI IHEANACHO AIPELEKA MAN CITY MTOANO LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KELECHI IHEANACHO AIPELEKA MAN CITY MTOANO LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
    Wednesday, December 07, 2016

    KELECHI IHEANACHO AIPELEKA MAN CITY MTOANO LIGI YA MABINGWA

    Mshambuliaji Kelechi Iheanacho (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City, Leroy Sane na Nolito baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Celtic kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Patrick Roberts alianza kuwafungia Man City dakika ya nne na kwa matokeo hayo City inamaliza nafasi ya pili nyuma ya Barcelona na zote zinafuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KELECHI IHEANACHO AIPELEKA MAN CITY MTOANO LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry