Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa 13 mfululizo katika Ligi Kuu ya England baada ya kuilaza 4-2 Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 34, Willian dakika ya 57 na 65 na Diego Costa dakika ya 85, wakati ya Stoke City yamefungwa na Bruno Martins-Indi dakika ya 46 na Peter Crouch dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu declares state of emergency in Rivers, appoints Vice Admiral Ibas as
sole administrator
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu has declared a
state of emergency in Rivers State, citing a prolonged political crisis
that has ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment