Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa 13 mfululizo katika Ligi Kuu ya England baada ya kuilaza 4-2 Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 34, Willian dakika ya 57 na 65 na Diego Costa dakika ya 85, wakati ya Stoke City yamefungwa na Bruno Martins-Indi dakika ya 46 na Peter Crouch dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans spot awkward detail from Chris Eubank Sr's interview after Eubank Jr's
epic win over Conor Benn
-
Fans watching Saturday's clash between Chris Eubank Jr and Conor Benn
spotted an awkward moment during the post-fight television coverage. Eubank
Jr beat B...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment