Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The issues at Real Madrid - and the scenes at Anfield - which COULD have
Trent Alexander-Arnold reconsidering his Liverpool future, writes LEWIS
STEELE
-
LEWIS STEELE: These are the days, my friends. Those were the words of one
gentleman who was standing ambitiously on top of a bus stop with a red
flare in h...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment