Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akimsikiliza refa (kulia). Balotelli alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya mwisho katika mchezo wa Ligue 1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux baada ya kumchezea vibaya beki Igor Lewczuk usiku wa jana timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enugu monarch praises US-based NGO for community support
-
Igwe Christopher Sunday Ekwo of Obeleagu Umana in Ezeagu Local Government
Area (LGA), Enugu State, has commended Adani Care Foundation for the Easter
pac...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment