Kieran Gibbs (katikati), akiwa na shujaa wa mabao matatu ya Arsenal, Lucas Perez (kushoto) katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, FC Basle usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park mjini Basel kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi, wakati la wenyeji lilifungwa na Seydou Doumbia na kwa matokeo hayo The Gunners wanamaliza kileleni kwa pointi zao 14, mbili zaidi ya PSG waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akpabio: NASS committed to quality education at EKSU convocation
-
Hails EKSU’s giant strides as varsity confers honorary degrees on Senate
Leader, two others at 29th convocation ceremony From Priscilla Ediare,
Ado-Ekiti...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment