// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); VICTOR MOSES AING'ARISHA CHELSEA, YAILAZA 2-1 SPURS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE VICTOR MOSES AING'ARISHA CHELSEA, YAILAZA 2-1 SPURS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, November 26, 2016

        VICTOR MOSES AING'ARISHA CHELSEA, YAILAZA 2-1 SPURS

        Mshambuliaji wa Chelsea, Victor Moses akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 51 wakiilaza 2-1 Tottenham Hotspur Uwanja wa Stamford Bridge, London. Christian Eriksen alianza kuwafungia wageni dakika ya 11, kabla ya  Pedro kuisawazishia The Blues dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: VICTOR MOSES AING'ARISHA CHELSEA, YAILAZA 2-1 SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry