Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye (kulia) akipokea zawadi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli jana ofisini kwake mjini Dar es Salaam kutoka Mwenyekiti wa kikundi cha sanaa cha Angavu, Athumani Juma Salum (kushoto). Mwingine anayeshuhudia kushoto ni Katibu wa kikundi hicho, Oliver Charles
Five talking points from final round of Six Nations
-
Here's our round-up of the big talking points from the final round of
fixtures in the 2025 tournament.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment