Riyad Mahrez akijivuta kupiga penalti kumtungua kipa Ludovic Butelle wa Bruges dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 wa Leicester City kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya haiku wa jana. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Shinji Okazaki dakska ya tank, wakati la Bruges lilifungwa na Jose Heriberto Izquierdo Mena dakota ya 52 Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment